Mbatia hatihati Vunjo

 
Namuombea Mbatia Apite .Wananchi wa Vunjo Mchagueni Anauwezo Mkubwa wa Kutumikia Wananchi compare na Hao Wengine

Tatizo Mbatia kajisahau sana.
Hata ndani ya Chama upambe wa Lowassa umempotezea mwelekeo.
Yale malalamiko kuwa hata hajawnda kupiga kampeni na wagombea wa chama chake mwenyewe ni serious sana.
Kama leo Mbatia na Kafulila hawajasimama jukwaa moja ni hatari sana.
 
MTU asijewadanganya, Vunjo ni jimbo la Mbatia ije mvua - lije jua ushindi ni lazima kama siyo Razima!!

James mbatia hata pata kura Vunjo kwa sababu haonekani Vunjo yeye yupo ubavuni Mwa lowassa. Wanavunjo wanauliza kama Kwenye kampeni haonekani akipata ubunge itakuaje? Mbatia hana makazi Vunjo Nyumba anayofikia ni Ya wazazi wake, kiasi cha watu Vunjo kumwita "yahaya". Mbatia hana mke wala Mtoto wana Vunjo wanauliza ataongozaje jimbo la Vunjo na ubachela wake ataenda kustarehe Dar Es salaam. Pia, historia ya baba Yake aliyekuwa akiwatumikisha watu wa Vunjo Kwenye mashamba Yake bila kuwalipa malipo stahiki. Madiwani wa Chadema kumtosa mbatia na kuahidi kumpigia kura Mrema kwa kuwa mbatia anaua Chadema Vunjo kwa kung'ang'ania kuweka madiwani wa Nccr kata zote 16 na kuwanyima Chadema kata 8 kama walivyokibaliana Kwenye ukawa. Wana Vunjo wanajua mbatia anatumika Na Aloyce Kimaro wa Ccm ( mbunge wa Vunjo 2005- 2010) Land Rover hardtop wanazotumia Nccr Kwenye kampeni ni zake. Tunajua Mrema kafunga Kiwanda cha kimaro cha vinywaji na Zile eka 11 alipora ajenge kituo cha radio zimethibitiwa kwa hiyo huu msaada kwa mbatia ni kwa ajili gani, hii ndoa ya ukawa na Ccm Vipi? Wana Vunjo sio wajinga. Wanaona Na wanajiuliza
 
Hata waongezeke na act. Mbatia lazima ashinde wananchi wa wavunjo wanamsimamo hawapelekwi pelekwi wewe
 
Mbatia kaua nccr yetu.kaiua vibaya mnoo huko vunjo nako ccm tutawakata tu hamna shida
 
uchambuz wa mwandish huyu unachekesha sana yaani ccm iporwe jimbo kama la same mashariki afu waje wapate mosh mjini ambako hawajawah hata kuelekea kupata kura zao zimekuwa za chin sana mara zote kwa mosh mjini
 
ccm ina vichekesho yaani wanyanganywe same majimbo waje wapate moshi vijijini?haiwezekani hata mjini wanaongea tu hawatapata zaidi ya majimbo mawili-lowassa hajaenda moshi vijijini

Lowassa tulikuwa nae Moshi vijijini kata ya Kibosho!
 
Aliachana na yule mke wake?!
 
Asirudi,mwehu sana yule!na ubunge wa sketi haoati pia
 
Mweleka mkubwa kwa mbatia mpaka aache kubenjua midomo wakati anaongea
 
kumbe source gazeti raia mwema? nime elewa

Hata lingekuwa gazeti lolote lile nazidi kusisitiza wanavunjo wasifanye makosa wakamwacha Mbatia kwa ushabiki wowote ule. Mbatia ni jembe la uhakika na ni mtu mwenye msimamo na uwezo mkubwa sana wa kuelewa, kutetea na kutenda mbali ya usomi wa hali ya juu alio nao. Huyu mzee Mrema ni ndumakuwili pandikizi na hajawahi kuwa mpinzani wa kweli na zaidi amezeeka na kuchoka. Asubiri nafasi aliyoahidiwa na Magufuli. Huyu wa ccm bado sana yeye aachwe ale kwanza ujana kwenye ma-night clubs ila silaha anayotishia nayo raia wema anyanganywe hadi atakapojitambua. Moshi mjini ikiwa kuna alieweza kuwaroga na mkalogeka mkiacha kumchagua Jaffary wa chadema maendeleo yote yaliyoletwa na mzee Ndesamburo akishirikiana na Jaffary yatayeyushwa kwa mwaka mmoja tu. Moshi vijijini nanyi nawaasa kuna jembe la chadema mmekabidhiwa hapo nae ni nd.Komu msije kudanganyika mkamwacha kwa ulaghai wa kapero,fulana na upande wa kanga mtajutia uamuzi wenu kwa miaka mitano. Huo ndio wosia wangu kama mzee ninae wafahamu wagombea hao na uwezo walio nao wa kuwatumikia. MABADILIKO UKAWA. UKAWA LOWASSA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…