Pamoja na yote uliyosema, nenda kajifunze kuandika habari halafu ndo uje huku jf. Kahutubia wapi, kasema nini hicho ulichoona kuwa ameliteka jimbo la vunjo?? Mwacheni mzee Lyatonga jamani. Ajilambie hiso pesa sa mwisho mwisho jamani ili akapumsike kwa amanyi kule kwetu ati.
Mnamfanya aje Funjo kwa mikuuu? Pole msee Lyatonga haya makitu yanakuonea wifu tuu, Utaongosa jimbo hilo mpaka mwisho. Hawakujui hawa atii