Mbatia afungua kampeni jimbo la Vunjo

Mbatia afungua kampeni jimbo la Vunjo

Mbatia hana hadhi ya kuchaguliwa na wananchi. Asubiri tu wa kupewa.
 
duu!! wakuu hv mrema anaweza siasa ya Mbatia!!.. yan hapo ni sawa sawa na barcelona icheze na stand united..
kama kuna mtu anabisha mbatia achukui bas tubet yeye atoe 1000 mm nbet 10000000000 uone nnavyoshinda.
ndo mana unaona Mbatia hata hapgi kampen kvileee coz anajua anachukua
 
mafuriko ya mrema alipanda juu ya meza akawa anahutubia
 
huyu jamaa, mwaka 2010 kapigwa vibaya sana na mdee kule kawe, akapotea kabisa kwenye siasa, akaonekana mzigo, vikina kafulila vikamuoga mzigo ndani ya chama kwakuwa haingizi chochote, vikataka kumpindua!
Roho nzuri ya JK ikaumuona na kumteua viti maalum japo ni mtu wa upinzani ndo akafufuka tena kisiasa, ila kiukweli hamuwezi Lyatonga hata robo! na JK mwish wake ni 25.10 sijui nani atamteua tena viti maalum
 
mama Tanzania,
asubiri wakuteuliwa na rais
Kamshindwa Mdee Dar es salaam, atamwezea wapi naibu PM mheshimiwa Augustino Lyatonga Mrema?

Bungeni ni hoja sio maguvu
 
Back
Top Bottom