Mbatia Acha ubishi, SimCardTax mlichemka

Mbatia Acha ubishi, SimCardTax mlichemka

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
James Mbatia anaongea, anatetea sana hiyo kodi ya simu, alaumu sana kwamba serikali ndiyo imeleta mgangano kwa kushindwa kutekeleza vizuri hiyo sheria.

Kumbe jamaa yupo kwenye ile kamati ya chenge iliyoleta hili balaa la sim card tax ambalo, tunamshukuru Mungu, Kikwete ameondoa hili balaa kwa kurejesha sheria bungeni kwa hati ya dharura
 
ila mwigulu amefafanua vizuri sana, hii kodi wangeweza charge kuanzia mtu anayetumia zaidi ya elfu hamsin kwa mwezi. Mimi bosi wangu anatumia zaid ya 3.milion kwenye sim, mtu kama huyu akichangia elfu moja kwa kwa mwezi kuna shida gani. Watu km hawa wako wengi,
 
James Mbatia anaongea, anatetea sana hiyo kodi ya simu, alaumu sana kwamba serikali ndiyo imeleta mgangano kwa kushindwa kutekeleza vizuri hiyo sheria.

Kumbe jamaa yupo kwenye ile kamati ya chenge iliyoleta hili balaa la sim card tax ambalo, tunamshukuru Mungu, Kikwete ameondoa hili balaa kwa kurejesha sheria bungeni kwa hati ya dharura

huyu jamaa nameamini ila anapoteza credits
 
ila mwigulu
amefafanua vizuri sana, hii kodi wangeweza charge kuanzia mtu anayetumia
zaidi ya elfu hamsin kwa mwezi. Mimi bosi wangu anatumia zaid ya
3.milion kwenye sim, mtu kama huyu akichangia elfu moja kwa kwa mwezi
kuna shida gani. Watu km hawa wako wengi,

Wewe unadhani hiyo airtime anayoitumia haijalipiwa kodi?
 
Sijawahi hata siku moja nikakaa nikamwelewa huyu mchumia tumbo Mbatia,kwangu namwona hana tofauti na Mrema na Lipumba kwa kupenda vyeo na pesa za dezo
 
Sioni faida ya hii kodo wakati hata tunaponunua vocha tunalipa kodi,kodi juu ya kodi watanzania tumelaaniwa?Hatuna vyanzo vingine vya mapato mpaka iwe kwenye simu tu?
 
leo ndio nimemfahamu vizuri huyu jamaa
 
ila mwigulu amefafanua vizuri sana, hii kodi wangeweza charge kuanzia mtu anayetumia zaidi ya elfu hamsin kwa mwezi. Mimi bosi wangu anatumia zaid ya 3.milion kwenye sim, mtu kama huyu akichangia elfu moja kwa kwa mwezi kuna shida gani. Watu km hawa wako wengi,

Hii ni ngumu kutekelezeka na zaidi ni ubaguzi usio wa lazima. Anapotumia zaidi analipa kodi zaidi pia. Kwa nini makampuni haya yasilipe kodi ya mapato kwa usimamizi bora?
 
Back
Top Bottom