Taarifa zinaeleza kuwa maeneo ya Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, mda huu kuna Lori la Mafuta linawaka moto. Inadaiwa kuwa ni kampuni ya Mount Meru.
=====
Gari lenye tenki la mafuta limelipuka na kuwaka moto katika Mji wa Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya majira ya saa 3:00 usiku wa leo Julai 6, 2023.
Gari hilo lilikuwa likitokea jijini Dar es salaam kuelekea mkoani humo na lililipuka baada ya moja ya tairi la tenki hilo kupasuka.
Taarifa zinaeleza kuwa maeneo ya Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, mda huu kuna Lori la Mafuta linawaka moto. Inadaiwa kuwa ni kampuni ya Mount Meru.
Taarifa zinaeleza kuwa maeneo ya Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, mda huu kuna Lori la Mafuta linawaka moto. Inadaiwa kuwa ni kampuni ya Mount Meru.