Mbarali, Mbeya: Kuna taarifa zinadai kuna lori linawaka muda huu

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,197
4,120
Taarifa zinaeleza kuwa maeneo ya Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, mda huu kuna Lori la Mafuta linawaka moto. Inadaiwa kuwa ni kampuni ya Mount Meru.

=====
Gari lenye tenki la mafuta limelipuka na kuwaka moto katika Mji wa Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya majira ya saa 3:00 usiku wa leo Julai 6, 2023.

Gari hilo lilikuwa likitokea jijini Dar es salaam kuelekea mkoani humo na lililipuka baada ya moja ya tairi la tenki hilo kupasuka.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

 
Niko hapa mbarali, Hakuna lori linawaka zaidi ya Taa.
Hilo lori lilishaamka limeenda zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…