Mbao za Mitiki zinahitajika....

Mbao za Mitiki zinahitajika....

Powder

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2016
Posts
5,200
Reaction score
7,027
Wadau kama kuna mtu anauza Mbao za Mitiki, basi tunaweza kuongea, kama utakua Comfortable hapa Sebureni ni sawa, kama utapenda twende PM, let's do it!

Nipe bei kwa size ulonayo, nataka Container 2 kwa kuanzia!
 
Wadau kama kuna mtu anauza Mbao za Mitiki, basi tunaweza kuongea, kama utakua Comfortable hapa Sebureni ni sawa, kama utapenda twende PM, let's do it!

Nipe bei kwa size ulonayo, nataka Container 2 kwa kuanzia!
Tuwacliane 0784616544
 
Mimi ni mdau katika upandaji, uvunaji na uchakataji wa mbao za mitiki na miti mingineyo.

Ninao uwezo wa kumudu order yako tena kwa wepesi na haraka.
Napatikana Turiani, Mtibwa-Teak.
Mbao zangu zinatokana na mitiki iliyo komaa.

Karibu Mkuu tujadili biashara.
 
Mimi ni mdau katika upandaji, uvunaji na uchakataji wa mbao za mitiki na miti mingineyo.

Ninao uwezo wa kumudu order yako tena kwa wepesi na haraka.
Napatikana Turiani, Mtibwa-Teak.
Mbao zangu zinatokana na mitiki iliyo komaa.

Karibu Mkuu tujadili biashara.

mmm3 za ujazo unauzaje?
 
Mimi ni mdau katika upandaji, uvunaji na uchakataji wa mbao za mitiki na miti mingineyo.

Ninao uwezo wa kumudu order yako tena kwa wepesi na haraka.
Napatikana Turiani, Mtibwa-Teak.
Mbao zangu zinatokana na mitiki iliyo komaa.

Karibu Mkuu tujadili biashara.
Shukrani Mkuu! Unazo Mbao ambazo zipo tayari kwa biashara? Kwamba zimechanwa kabisa?
 
Shukrani Mkuu! Unazo Mbao ambazo zipo tayari kwa biashara? Kwamba zimechanwa kabisa?
Sorry mkuu muda huu ndiyo naingia JF, i was too busy today...

Shehena kwangu huwa haikosi kikubwa naomba unipe specifications za order yako ili nicheck stock yangu kama inaeneza idadi ya mzigo utakao.

Karibu sana mkuu!
 
Sorry mkuu muda huu ndiyo naingia JF, i was too busy today...

Shehena kwangu huwa haikosi kikubwa naomba unipe specifications za order yako ili nicheck stock yangu kama inaeneza idadi ya mzigo utakao.

Karibu sana mkuu!
Ok Mkuu, nipe muda kidogo ntakujulisha.
 
mmm3 za ujazo unauzaje?
Mkuu specify dimensions za mbao utakazo make huwa nauza kulingana na gharama za uandaaji wa mzigo.

Ila kikubwa ni kwamba price yangu ipo minimo na too favourable kulingana na ukubwa wa shenena yako.

Karibu mkuu!
 
Wakuu size ya mbao ambayo nataka ni 4*8*12
Piga hesabu unipe bei kwa Container 1 la 20 feet.

Pia size hiyo hiyo nipe bei kwa Container 1 la 40 feet.

Naomba kila mtu anitumie PM hiyo Quotation yake, then tutaelewana huko huko PM!
 
Wadau kama kuna mtu anauza Mbao za Mitiki, basi tunaweza kuongea, kama utakua Comfortable hapa Sebureni ni sawa, kama utapenda twende PM, let's do it!

Nipe bei kwa size ulonayo, nataka Container 2 kwa kuanzia!
Habari ndugu nina mitiki naomba mawasiliano yako kama bado unaendelea nahii biashara
 
Habari ndugu nina mitiki naomba mawasiliano yako kama bado unaendelea nahii biashara
Habari!
Nilishafanikisha kumuunganisha Seller na buyer wanaendelea kufanya business, buyer alikua toka nje.....

So kama ikitokea Oda ingine basi tuzidi kuwasiliana inshaalah...

But kwenye issue ya Mbao huwa natafuta seller mwenye Export lincese japo first time business itafanyika kwa FOB Dar ES salaam ....!
 
Back
Top Bottom