...kaka tangazo liko full kueleweka kilichobaki ni maelewano kama uko interested, em soma vyema baada ya kueleza size za mbao nimesema zinatoka iringa, to be more specific saohill...Huko mkoa gani!! Nashauri nyie watu mnaoleta matangazo ya biashara mtandaoni mje na details za kutosha ili mzibe mianya ya maswali na tangazo liwe limejitosheleza.
Hii ndio picha ya mbao au sijaelewa?
Mkuu hizo mbao ndefu ndo futi ngapi?? ft12 au?...wadau vipi nipeni biashara basi...
Salaamz wadau,
Nina mzigo wa mbao semi trela moja, soft wood, mbao ndefu, 2 x 4, 2 x 6 toka iringa.
Kama unahitaji tuwasiliane nikushushie mzigo
Wasalaam,
Gefu
Salaamz wadau,
Nina mzigo wa mbao semi trela moja, soft wood, mbao ndefu, 2 x 4, 2 x 6 toka iringa.
Kama unahitaji tuwasiliane nikushushie mzigo
Wasalaam,
Gefu
Huo mzigo wa mbao uko mkoa gani?[/ jaribuni kusoma ndugu zangu ndio ujaribu kuandika kaelezea vizuri muandishi mbao zipo Iringa ...
Semi nzima ya cyprus inafika bei gani mkisafirisha mpaka dar?....no sio treated , ni za kawaida...
mkuu naomba uweke number na bei ili tuweze linganisha kati ya hawa walanguzi wa huku mtaani na wewe nani mwenye afadhali nahitaji nyingi mkuu ukiwa seriousSalaamz wadau,
Nina mzigo wa mbao semi trela moja, soft wood, mbao ndefu, 2 x 4, 2 x 6 toka iringa.
Kama unahitaji tuwasiliane nikushushie mzigo
Wasalaam,
Gefu