Mba kichwani (Dandruff): Fahamu Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Jaribu mafuta ya morgan,yanatibu mba wa kichwa kwa uzuri kabisa na yanapatikana kwa urahisi kwa maduka ya vipodozi.
 
Nilikua na sumbuliwa na tatizo kama hlo nikashauliwa nitumie mafuta ya nywele yanayoitwa Kuza.....now nashukuru umepeungua japo bado nipo kwenye dozi
 
Nilikua na sumbuliwa na tatizo kama hlo nikashauliwa nitumie mafuta ya nywele yanayoitwa Kuza.....now nashukuru umepeungua japo bado nipo kwenye dozi

Sakasaka, hayo mafuta ya Kuza upatikanaji wake ni mkubwa? na bei yake je?
Asante sana.
 
Habari JF Doctors?
naomba msaada wa kuhusu dawa sahihi ya mba au utangotango kwenye ngozi, hauwashi ila unanikera sna uko mgongoni na kwenye mabega.
 
Ndugu wana JF,

Nimekuwa nikisumbuliwa na mba (dandruff) za kichwani (scalp) kwa muda mrefu sasa na nimetumia dawa kila aina bila mafanikio. Nilianza kwa kupaka mafuta ya Whitefield lakini sikuona mabadiliko. Kisha nikameza vidonge aina ya grasiofulvin bado sikuona ahueni yoyote. Baadaye nikashauriwa kumeza vidonge aina ya ketoconazole, baada ya kushauriwa na daktari kwamba hivi vidonge ni vikali kuliko grasiofulvin nilivyotumia mwanzo. Bado tatizo liliendelea kuwepo, tena safari hii likazidi kuwa sugu zaidihata ukiwa mbali ukinitazama kichwani utadhani nimepaka ungahii ni kwa sababu ya ukoko wa mba unaochomoza kutoka kwenye ngozi ya kichwa (scalp).

Baada ya kuona tatizo limezidi ikabidi nimuone daktari wa magonjwa ya ngozi, ambapo huyu daktari alinitengenezea dawa kali kwa kuchanganya alcohol na dawa fulani ya mba. Sambamba na hii dawa aliniandikia dawa ya ketoconazole shampoo ambayo niliipaka kwa muda usiopungua mwaka mmoja. Nilitumia hadi dawa ikasiha laki bado tatizo liko palepale.

Hivi karibuni nimerudi tena hospitali daktari akaniandikia vidonge. Nilipogundua kwamba vidonge alivyoniandikia ni glusiofulvin (vidonge ambavyo vilishindwa kunitibu awali), nilivitupa vidonge hivyo jalalani. Sasa hivi nanyoa nywele kila baada ya wiki moja, tofauti na awali ambavyo nilikuwa nanyoa kila baada ya wiki mbili. Hii hali imenichanganya sana. Sijui nifanyeje. Niliwahi kwenda hadi hospitali ya St Benard kule Kariakoo nikachomwa dawa yenye mchangayiko wa salicylic acid lakini sikupata ahueni yoyote.

Wandugu, naomba mnisaidie. Anayefahamu tatizo hili naweza kuliondoaje au daktari anayeweza kulitibu naomba anielekeze. Natanguliza shukrani.
------
MAONI YA MDAU
 
mkuu hilo tatizo nami limenisumbua tangu utoto lakini ghafla mwaka huu nimepona tafuta mafuta ya kupaka kichwani yanaitwa Movit mimi ndio yamemalizia tatizo langu.
 
mkuu hilo tatizo nami limenisumbua tangu utoto lakini ghafla mwaka huu nimepona tafuta mafuta ya kupaka kichwani yanaitwa MOVT mimi ndio yamemaliza tatizo langu.

Nashukuru sana ndugu yangu. Ngoja niyatafute hayo mafuta nipake- Nimeteseka sana tangu mwaka 1988 nilipopata hili tatizo--hadi nilishauriwa kupaka mikorogo nikapaka lakini wapi. Ngoja niijaribu MOVT. Thank u very much.
 
mkuu hilo tatizo nami limenisumbua tangu utoto lakini ghafla mwaka huu nimepona tafuta mafuta ya kupaka kichwani yanaitwa MOVT mimi ndio yamemaliza tatizo langu.

hata mm nitayataka hayo, yanapatikana wapi>
 
Ni kweli mafuta hayo ni mazuri kwa mba tena yanauzwa buku tatu au nne hivi. ila inabidi utumie muda wote ngozi iwe wet na anayekupalka asiwe mvivu
 
Wewe nenda kwenye madukA ya yavipodozi utayapata ni ya blue na yana picha ya msichAna badae kidogo nitakuwekea picha

weka picha ya Movit tafadhali......mimi mwenyewe nikisuka braids napata mba sana..............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…