Mimi tatizo langu lilikuwa sugu, nimekuwa nalo tangu mwaka 1988. Nilitumia kwa muda wa miezi sita ndipo walau nikapata nafuu kidogo. Ila kama wewe tatizo lako sio la muda mrefu nenda kwa Prof Mgonda atalimaliza haraka sana.
Sema mie naishi mbeya,na tatizo lilianza 2007Mimi tatizo langu lilikuwa sugu, nimekuwa nalo tangu mwaka 1988. Nilitumia kwa muda wa miezi sita ndipo walau nikapata nafuu kidogo. Ila kama wewe tatizo lako sio la muda mrefu nenda kwa Prof Mgonda atalimaliza haraka sana.
Kama 2007 tatizo lako litatibika haraka sana kwa hizo dawa ila unapaswa kuzingatia usafi na kuepuka kushea vitana na vitu vingine ili kuepuka maambukizi mapya.
Sh ngapi ulizinunua?Wakuu, dawa za ukweli za mba ni hizo nilizoweka hapo juu: Terbifin na Beprosalic ointment. Baada ya kusumbuka kwa miaka mingi, dawa hizo zilinipa suluhisho.
Sijanunua nilitumia bima ila sidhani kama zinagharimu pesa nyingi kivile.Sh ngapi ulizinunua?
Sh ngapi ulizinunua?
Vipi matokeo yake ndugu!?Mi nilinunua tsh 1500 kwa kidonge kimoja na vidonge vya siku 30000 inakuwa 45000
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali sio mbaya,vimekauka kwa asilimia 90 na vidonge bado siku tatu kuisha. Ila side effect za dawa ni kama tumbo kuuma,kuharisha,kichwa kuuma kidogonna mwilibkukosa nguvu. Sijui kwa mwenzetu aliyepona kabisa kama alipitia hizi piVipi matokeo yake ndugu!?
Sawa nduguHali sio mbaya,vimekauka kwa asilimia 90 na vidonge bado siku tatu kuisha. Ila side effect za dawa ni kama tumbo kuuma,kuharisha,kichwa kuuma kidogonna mwilibkukosa nguvu. Sijui kwa mwenzetu aliyepona kabisa kama alipitia hizi pi
Sent using Jamii Forums mobile app
aaaah ndugumuone daktari, inaweza kuwa allergic or fungal infection.