Mazuri ya treni ya umeme

Shida ya mfumo mbovu wa nchi hii, mtu akiteuliwa anawaza kuiba pekee badala ya kutumikia jamii
 
Wanawekwa UVCCM matokeo yake wanaharibu sn nchi
 
Kwa Hiyo weweunashauri Treni Yetu isimamiwe na hao wala konokono?

Wachina wa Kenya Wamesimamia kwa sababu wanakusanya Madeni yao kama ambavyo NSSF inafanya pale DARAJA la KIgamboni.
Wachina ndiyo matapeli kabisa
 
Ni umaskini wa maisha na fikra. Nchi yenye wajinga wa kutupwa ni Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…