Mazungumzo ya Prof. Kabudi na Balozi wa Canada katika picha. Ni muoga sana Kabudi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,360
11,507
Wazungu wanasema a picture speaks hundred words.
Ukiitizama hii picha unaona kabisa Kabudi amenyong'onyea. Hana confidence na anashindwa mtizama huyu mama ambaye amekaa kwa kujiamini na kumtizama kabudi usoni.
2220114_1574553837444~2.jpeg


Kwa aibu kabudi anatizama chini halafu amekaa standby kutaka kuamka anaona kama kuzidi kukaa hapo ni kujidhalilisha.huyu mama anazidi kuwambia
"kuwa kule kwetu serikali haiingilii mahakama.kila kitu kinajitegemea chenyewe.wewe ulitaka nifanye nini?si mwalimu wa sheria wewe?umeniita nifanye nini kwa mfano?"

Kabudi anatembeza tembeza macho anakosa jibu anaangalia chini kwa aibu.mama anamtizama na kumwambia "nakusikiliza mh waziri unategemea mimi nifanye nini kwa mujibu wa sheria?"
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo picha hujaiona kabudi akitizama chini kwa aibu na mkono mmoja ameuweka standby anataka kunyanyuka? Mbona inaonekana kabisa. Na huyo mama hujamwona amemtizama kabudi firmly usoni bila kupepesa macho?

Kabudi ni profesa ameishi na Wazungu miaka mingi!
Atamwogopaje huyo binti mdogo

Unamchukulia poa kabudi sababu za kisiasa tu ila ni mtu hasa
 
Kama mama wa watu kafungasha safari hadi Dom bila kupenda alafu wamuogope? Huna akili kabisa wewe
 
Kabudi ni profesa ameishi na Wazungu miaka mingi!
Atamwogopaje huyo binti mdogo

Unamchukulia poa kabudi sababu za kisiasa tu ila ni mtu hasa
Huyu ukimsikiliza, nadhani ni kati ya wale maprof tunaowatunuku kwa sababu tunaamini kila chuo kikuu ni lazima kiwe na maprof lakini siyo kwa sababu ana uelewa wa kiwango cha maprof wengine Duniani katika fani ya sheria. Arguments zake mara nyingi ni za kijinga hasa! Eti analinganisha Canada na US ambayo siyo mwanachama wa Jumuia ya Madola. Ni sawa na kuuliza kwa nini uende SA bila visa lakini uende Ghana kwa visa!

Fuatilia hotuba yake UN ndiyo utakata tamaa kabisa! Alienda kuwahutubia walimwengu vyoo vinavyojengwa na Tanzania! Nadhani hiyo itakuwepo kwenye records za kudumu za UN General Assembly kama miongoni mwa hotuba za hovyo kuwahi kutolewa.
 
Wazungu wanasema a picture speaks hundred words.
Ukiitizama hii picha unaona kabisa Kabudi amenyong'onyea. Hana confidence na anashindwa mtizama huyu mama ambaye amekaa kwa kujiamini na kumtizama kabudi usoni.
View attachment 1270862

Kwa aibu kabudi anatizama chini halafu amekaa standby kutaka kuamka anaona kama kuzidi kukaa hapo ni kujidhalilisha.huyu mama anazidi kuwambia
"kuwa kule kwetu serikali haiingilii mahakama.kila kitu kinajitegemea chenyewe.wewe ulitaka nifanye nini?si mwalimu wa sheria wewe?umeniita nifanye nini kwa mfano?"

Kabudi anatembeza tembeza macho anakosa jibu anaangalia chini kwa aibu.mama anamtizama na kumwambia "nakusikiliza mh waziri unategemea mimi nifanye nini kwa mujibu wa sheria?"
Namuona prof. Kabudi anatema madini kwa kukwoti vifungu vya sheria kutoka kwenye kitabu alichoshika, balozi kashikwa na kigugumizi.
 
Hatuwezi kupuuza ujenzi bora ni ishara ya jamii iliyostaarabika mno

Leo Hii India inadharaulika sababu Wananchi wake wananyea vichakani hawana vyoo

Kabudi alikuwa anaiambia dunia jinsi Tanzania tulivyo staarabika

Sioni km alikosea
Huyu ukimsikiliza, nadhani ni kati ya wale maprof tunaowatunuku kwa sababu tunaamini kila chuo kikuu ni lazima kiwe na maprof lakini siyo kwa sababu ana uelewa wa kiwango cha maprof wengine Duniani katika fani ya sheria. Arguments zake mara nyingi ni za kijinga hasa! Eti analinganisha Canada na US ambayo siyo mwanachama wa Jumuia ya Madola. Ni sawa na kuuliza kwa nini uende SA bila visa lakini uende Ghana kwa visa!

Fuatilia hotuba yake UN ndiyo utakata tamaa kabisa! Alienda kuwahutubia walimwengu vyoo vinavyojengwa na Tanzania! Nadhani hiyo itakuwepo kwenye records za kudumu za UN General Assembly kama miongoni mwa hotuba za hovyo kuwahi kutolewa.
 
Professor Kabudi anapwaya sana

Hana communication skills, ukisikiliza jana alivyokuwa anaongea na mabalozi wapya tone yake ni kama ya kushurutisha badala ya encouraging kuwapa watu morale ya kazi.

Poor choice of words inaonekana ni mcha mungu mzuri lakini huna sababu ya kuwaambia watu wakasome maneno takatifu ya kitabu chako achilia mbali ya kuwa wengine sio wa dini yako bali kuna wale ambao awaamini mungu au hata ibada kwao sio vitu wanavyofata.

Anaropoka vitu ovyo au kukuza mambo tofauti na facts kwenye kutafuta sifa matokeo yake kuipotosha jamii, kama hili sakata la kushinda kesi S.A.

Sio kiongozi aliyeandaliwa kwenye international arena hiyo posture kwenye picha the body language indicates lack of confidence, yielding to the intimidation/authorative posture iliyoonyeshwa na balozi kupitia body language (staring firmly).

Kama kuna watu makini ni wakati wa kumwambia Mh raisi Kabudi ata kama anampenda sana ushauri wake wa maswala ya court matters aupokee kwa jicho la ziada yupo kwa kujipendekeza na kulinda maslahi yake kuliko kutoa ushauri wa ukweli.

The guy is just hopeless in so many ways.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom