Mazungumzo ya makada

Mazungumzo ya makada

James7

Senior Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
120
Reaction score
82
Hayo ni mazungumzo baina ya Wana-Magamba. Ni hofu, taharuki, kijasho...
 

Attachments

  • 1442332864029.jpg
    1442332864029.jpg
    67.7 KB · Views: 1,377
  • 1442332903126.jpg
    1442332903126.jpg
    64.2 KB · Views: 1,071
  • 1442332924076.jpg
    1442332924076.jpg
    19.2 KB · Views: 938
Tuta wa delete magamba mwaka huu wacha watapetape futa delete kabisa ccm.UKAWA FOREVER
 
Mbona mumeshaambiwa ni ya kutunga lakini bado watu mnapost. Angalia TCRA. Group conversation haina hizo tick 2. Tafiti kabla ya kupost
 
Mbona mumeshaambiwa ni ya kutunga lakini bado watu mnapost. Angalia TCRA. Group conversation haina hizo tick 2. Tafiti kabla ya kupost
nani ametunga? moderator muwe fea, kwa mfano uzi unaozungumzia lowasa kwamba anaumwa parkinson disease mtuambie ni daktari gani aliyeithibitishia jf kuhusu ukweli wa huu ugonjwa?
 
Mbona mumeshaambiwa ni ya kutunga lakini bado watu mnapost. Angalia TCRA. Group conversation haina hizo tick 2. Tafiti kabla ya kupost

Yanaweza kuwa ya kutunga lkn sio kwa hiyo sababu ya hizo tick 2 unayosema. Kama kwenye group wote mpo active hizo tick mbili zinatokea na hata wote wakisoma msg, tick zinabadilika zote kuwa blue.
Mara nyingi kwenye groups tulizonazo ni ngumu kukuta watu wote wapo active ndio mana hilo halionekani mara kwa mara.
Tengeneza group la watu wachache ambao mpo active wote ujaribu kufanya hiyo experiment utaona
 
Yanaweza kuwa ya kutunga lkn sio kwa hiyo sababu ya hizo tick 2 unayosema. Kama kwenye group wote mpo active hizo tick mbili zinatokea na hata wote wakisoma msg, tick zinabadilika zote kuwa blue.
Mara nyingi kwenye groups tulizonazo ni ngumu kukuta watu wote wapo active ndio mana hilo halionekani mara kwa mara.

Well said.
 
Mbona mumeshaambiwa ni ya kutunga lakini bado watu mnapost. Angalia TCRA. Group conversation haina hizo tick 2. Tafiti kabla ya kupost

Hivi ile rangi ya kijani kumbe inatoa akili eeh? Kwa hiyo mtu mmoja alikuwa anachat na watu tofauti? na yale majina pale juu je? Afadhali ungesema vibaka kadhaa wamuamua kutengeneza grup kwa majina ya hao waheshimiwa eti unadai hilo sio grup???? mmmh hebu nimsubirie Mbatia mie
 
nani ametunga? moderator muwe fea, kwa mfano uzi unaozungumzia lowasa kwamba anaumwa parkinson disease mtuambie ni daktari gani aliyeithibitishia jf kuhusu ukweli wa huu ugonjwa?

VP kuhusu hii
 

Attachments

  • 1442336524855.jpg
    1442336524855.jpg
    60.3 KB · Views: 317
  • 1442336541028.jpg
    1442336541028.jpg
    59.5 KB · Views: 270
Hawa jamaa wana weweseka sana...hawaamin kinachotokeaaaa
 
VP kuhusu hii
kwa hiyo hizi ulizotoa moderator wamezikubali kwamba ni sahihi na zimethibitishwa? kama mnaweza kuvalisha watu tshirt na kuwaandamanisha kama wana cdm kwani mnashindwa nini?

maendeleo tu ndio mmeshindwa kuwaletea wa tz,lakini wizi,uongo,ufisadi mmefanikiwa kwa kwa miaka 50
 
Back
Top Bottom