P preciouse Member Joined Nov 6, 2012 Posts 46 Reaction score 12 Feb 21, 2014 #1 Habari wana JF, natafuta maziwa fresh ya ng'ombe kwa ajili ya kuuza. nipo Dar ni wapi nitapata kwa bei nzuri?
Habari wana JF, natafuta maziwa fresh ya ng'ombe kwa ajili ya kuuza. nipo Dar ni wapi nitapata kwa bei nzuri?
Tyta JF-Expert Member Joined May 21, 2011 Posts 12,767 Reaction score 10,536 Feb 21, 2014 #2 [h=3]Hii iko india pekee duniani..[/h]
CHIKITITA JF-Expert Member Joined May 1, 2013 Posts 445 Reaction score 158 Feb 21, 2014 #3 preciouse said: Habari wana JF, natafuta maziwa fresh ya ng'ombe kwa ajili ya kuuza. nipo Dar ni wapi nitapata kwa bei nzuri? Click to expand... unahitaji lita ngapi kwa siku? upo Dar sehemu gani weka namba ya simu tufanye biashara
preciouse said: Habari wana JF, natafuta maziwa fresh ya ng'ombe kwa ajili ya kuuza. nipo Dar ni wapi nitapata kwa bei nzuri? Click to expand... unahitaji lita ngapi kwa siku? upo Dar sehemu gani weka namba ya simu tufanye biashara
M magesa77 Senior Member Joined May 22, 2011 Posts 123 Reaction score 15 Feb 21, 2014 #4 Mi nahitaji samli, nitapata!