Mazinge jamaa yale mashambulizi yote kwa Mwamposa ilikuwa WIVU

Mazinge jamaa yale mashambulizi yote kwa Mwamposa ilikuwa WIVU

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,250
Reaction score
26,639
Huyu jamaa yale mashambulizi yote kwa Mwamposa ilikuwa WIVU


Kuna waislamu niliwaambia huyu ni muongo na mpotoshaji hata maandiko ya Biblia Amekuwa akiyapotosha na waislamu walivyo hawajui kufatilia wanamshangilia ,ila kwasisi wasomi wa Biblia tunajua hana elimu ni mpotoshaji mkubwa

Mwamposa ni tapeli anajulikana hivo, ila huyu mazinge ni wazi alikuwa anamuonea WIVU sana Mwamposa maana jamaa Amekuwa anawasomba Hadi waislamu anawauzia mafuta

Waislamu wanaenda sana kwa Mwamposa kwa kujificha ,sasa Mazinge akaanza WIVU ,akajifanya anamkemea sana Mwamposa ,ila Mwamposa wala hakumjibu

Cha ajabu kaona Bado Mwamposa anawasomba tu waislamu anawauzia mafuta ,

Mazinge kupitia kijana wake Sheikh Sharifu Firdausi wanauza mafuta ,na maji ya upako

Wanajifanya wanasomea watu visomo ,wanapiga pesa

Wanafukia vitu usiku, kesho wanajifanya wanakutolea uchawi

SASA mtu kama huyu ukisikia anasoma Aya ya biblia ujue anaipotosha kwa manufaa yake

HAWA NI MATAPELI ,

EWE MUISLAMU KATAA HAWA MATAPELI
 
Mashehe wa Dar es salaam wote ni mission town tu
 
Mashehe wa Dar es salaam wote ni mission town tu
Wote hawana shule ,halafu ni waganga na wafuga majini karibu wote

Kishki ndio kajiongeza ana shule

Ila na yeye mjanja mjanja ,yale mashindano ya Quran ni mradi wake wa kupiga pesa

Wenzake wakianzisha anawafitini
 
Wote ni majambazi, hayana tofauti na majambazi ya mbogamboga kule Dodoma.
 
Back
Top Bottom