Mazda Demio 2008/2011

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,201
Reaction score
31,489
Wakuu nawaza kumnunulia mke kigari kidogo maana anasisitiza yeye anaweza kuendesha kigari kidogo kwa sasa bado hajazoea heka heka za barabara.
Mawazo yangu yanawaza Mazda Demio toleo la 2008 au 2013. Swali langu kwa wataalam wa magari, je gari hili lina changamoto gani?
Napenda mwonekano wake wa ndani kuliko IST hivyo naona itamfaa. Pia naona ina mwonekano wa kike.
Natanguliza shukrano.
 

Attachments

  • 2012-Mazda-MAZDA2-FrontSide_MAMA2121_640x480.jpg
    30.7 KB · Views: 4
Ahaa huyu ndio ndugu yake na verisa sio,,basi kwa muonekano kwa mwanamke ni poa tu Mambo ya kiufundi watakuja Mad Max
 
Sio kwa shem peke yake ata wewe itakufaa gari ni nzuri.
Unamaanisha hutaigusa kabisa😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…