Tena ni mtumba wa 2015!!Tanzania kwa kufurusha bei. Hizi gari hata sijui imekuwaje zimefika hii bei ya million 40 aisee.
😂😂😂😂Tena ni mtumba wa 2015!!
Ndo yenyewe.. analewa anagongesha huko, taa zinavunjika anaunga na super glue. HahahahahaSi ndo hizi gari, kuna jamaa alileta uzi akilalama inamfilisi? Au ndo amekutuma umfanyie mauzo?
😂😂😂😂😂😂
Wachina wanauza magari mapya wabongo hatuwezi kununua. Yetu ni haya ya miaka 20 iliyopitaWachina si wauze magari uku bongo
Mkuu ndo hayo tunauziwa milioni 20 mpk 30 kisa Kodi wakati china wanayauza mil 7 mpk 10 kwann mwekezaji asiyalete huku akayauza kwa million 12 mpk 15!!Wachina wanauza magari mapya wabongo hatuwezi kununua. Yetu ni haya ya miaka 20 iliyopita
Madalali kazini.Tanzania kwa kufurusha bei. Hizi gari hata sijui imekuwaje zimefika hii bei ya million 40 aisee.