dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 5,852
- 14,519
so,hayo maoni yako yana uhalisia gani?Haya ni maoni yako na hayana uhalisia wowote, Chama akiachana na Simba leo hii Yanga watamkimbilia mbio mbio na kumsajili kwa mbwembwe za kiwango cha juu
injinia hawezi kutupa pesa yake kwa chama...tangu arudi kwenu toka berkane kafeli pakubwa tu,aende ihefu