Mayai

Happiness1

Member
Joined
Dec 12, 2018
Posts
49
Reaction score
26
Nahitaji mayai ya kisasa kutka kwa mfugaji mwenye nayo tuwasiliane nipo Dar Kimara mwisho 0757277543
 
Mimi ni mnunuaji
I thought unaweza kunielekeza duka lenye hiyo bei
Walau ninunue kwa bei nafuu

Juzi nimeenda Mtoni nimeshangaa tray wanauza 5,000- 6,000 tena unachagua
 
Dah...siku ikifika...bidhaa ikatoka kwa mzalishaji na kwenda kwa mlaji moja kwa moja...bila kupitia kwa huyu mlanguzi...mnyonyaji...mpanga bei...mvivu...mlaliaji.....tutakuwa tumepiga hatua muhimu ya uchumi wetu....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…