Swordfisher
JF-Expert Member
- May 1, 2013
- 233
- 37
Nauza Mayai yenye mbegu ya Kuku Chotara kwa ajili ya kutotolesha trei 6. Bei: 12000 kwa trei. Mwenye kuyahitaji ani PM
mkuu mimi natafuta
vifaranga chotara, vipi vinapatikana?? km ndio nipe na bei yake. pia
vinachukua miezi mingapi hadi kuwa kuku kamili?