Mayai ya kienyeji (fresh) kwa afya - 2

Mayai ya kienyeji (fresh) kwa afya - 2

elnino

Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
75
Reaction score
26
Nimerudi tena wana JF kwenye jukwaa letu pendwa, baada ya kupost uzi wangu Mayai ya kienyeji (fresh) kwa afya nilipata watu wengi sana ambao mpaka leo wanatumia mayai fresh ya kienyeji kutoka shambani kwangu.
Habari njema ni kwamba, mayai ya kienyeji ( fresh) bado yanapatikana kwa watu wote wenye kujali afya zao.
  • 1 Tray (Mayai 30) - Tshs 15,000/=
  • Nusu Tray (Mayai 15) - Tshs 8,000/=
Kumbuka,
  • Mayai ni fresh yaliyotagwa ndani ya masaa 48 (siku 2),
  • Unaletewa popote ulipo ndani ya DSM na kwa idadi yoyote ile utakayo order,
  • Shamba lipo Bunju B - Mabwepande, Km 4.5 kutoka Bagamoyo road,
  • MAWASILIANO +255 756 087 894.
[HASHTAG]#mtaji[/HASHTAG] wa kwanza ni kuwa na afya bora
KARIBUNI SANA...!
 

Attachments

  • IMG_20180412_155141.jpg
    IMG_20180412_155141.jpg
    128.5 KB · Views: 63
  • IMG_20180412_155804.jpg
    IMG_20180412_155804.jpg
    39.1 KB · Views: 67
  • IMG_20180413_173241.jpg
    IMG_20180413_173241.jpg
    155.9 KB · Views: 63
  • IMG_20180413_173522.jpg
    IMG_20180413_173522.jpg
    82.9 KB · Views: 59
  • IMG_20180413_174250_757.jpg
    IMG_20180413_174250_757.jpg
    73.8 KB · Views: 59
  • IMG_20180413_174328_053.jpg
    IMG_20180413_174328_053.jpg
    78 KB · Views: 66
  • IMG_20180413_180040.jpg
    IMG_20180413_180040.jpg
    73.6 KB · Views: 68
  • IMG_20180413_175449.jpg
    IMG_20180413_175449.jpg
    157.4 KB · Views: 58
Nimerudi tena wana JF kwenye jukwaa letu pendwa, baada ya kupost uzi wangu Mayai ya kienyeji (fresh) kwa afya nilipata watu wengi sana ambao mpaka leo wanatumia mayai fresh ya kienyeji kutoka shambani kwangu.
Habari njema ni kwamba, mayai ya kienyeji ( fresh) bado yanapatikana kwa watu wote wenye kujali afya zao.
  • 1 Tray (Mayai 30) - Tshs 15,000/=
  • Nusu Tray (Mayai 15) - Tshs 8,000/=
Kumbuka,
  • Mayai ni fresh yaliyotagwa ndani ya masaa 48 (siku 2),
  • Unaletewa popote ulipo ndani ya DSM na kwa idadi yoyote ile utakayo order,
  • Shamba lipo Bunju B - Mabwepande, Km 4.5 kutoka Bagamoyo road,
  • MAWASILIANO +255 756 087 894.
[HASHTAG]#mtaji[/HASHTAG] wa kwanza ni kuwa na afya bora
KARIBUNI SANA...!
Karibuni sana wana JF, KIZURI SHARE NA WENZIO!!!!
 
Karibuni jamani, naamini waliokwisha yatumia tangu week iliyopita watakuja na mirejesho chanya hapa. WEWE UNASUBIRI NINI?
 
Habari mkuu!
Vipi? mayai bado yapo?
Karibu sana mkuu na heri ya jumapili!
mayai yapo ni wewe tu uniambie unataka kiasi gani na unapatikana wapi nikuletee leo leo
 
I wish you all the best.
Na ubarikiwe wewe Na kazi za mikono yako. Ubarikiwe uzao wa mifugo yako.
Mungu akakupatie kipato cha kukutosheleza kutokana na ufugaji unaofanya.
Ukapate wateja kwa wingi kutoka pande zote za Dunia.
Naikemea Kila roho ya uharibifu, roho ya hasara, Na chuma ulete.
Naikemea roho ya magonjwa Na kifo kwa mifugo yako Na fedha zako.
Kwa JINA LA YESU, ANAYEISHI NA KUTAWALA akakuimarisha Na kukuinua juu zaidi.
Amen
 
Karibu sana mkuu na heri ya jumapili!
mayai yapo ni wewe tu uniambie unataka kiasi gani na unapatikana wapi nikuletee leo leo
Duh! mkuu ulikuwa unasubiri msg yangu nini maana umenijibu faster kama speed ya light😀😀
Anyway, naomba niletee trays mbili hapa mbezi beach tank bovu
 
I wish you all the best.
Na ubarikiwe wewe Na kazi za mikono yako. Ubarikiwe uzao wa mifugo yako.
Mungu akakupatie kipato cha kukutosheleza kutokana na ufugaji unaofanya.
Ukapate wateja kwa wingi kutoka pande zote za Dunia.
Naikemea Kila roho ya uharibifu, roho ya hasara, Na chuma ulete.
Naikemea roho ya magonjwa Na kifo kwa mifugo yako Na fedha zako.
Kwa JINA LA YESU, ANAYEISHI NA KUTAWALA akakuimarisha Na kukuinua juu zaidi.
Amen
Amen mkuu! na wewe uwe na jumapili jema yenye baraka tele.
 
Duh! mkuu ulikuwa unasubiri msg yangu nini maana umenijibu faster kama speed ya light😀😀
Anyway, naomba niletee trays mbili hapa mbezi beach tank bovu
hah hah hah
next time tumia namba yangu ya simu ndio huwa faster zaidi kuliko hata speed hii ya light🙂😀
nitakuletea mkuu wala usijari
 
Mkuu naomba kuuliza tu hivi kwenye hivyo vidumu ulivyojaza mchanga kuku anaweza kulalia na kutotoa fresh au unatotolesha na mashine?
Nimerudi tena wana JF kwenye jukwaa letu pendwa, baada ya kupost uzi wangu Mayai ya kienyeji
(fresh) kwa afya
nilipata watu wengi sana ambao mpaka leo wanatumia mayai fresh ya
kienyeji kutoka shambani kwangu.
Habari njema ni kwamba,
mayai ya kienyeji ( fresh) bado yanapatikana kwa watu wote wenye kujali afya zao.

  • 1 Tray (Mayai 30) - Tshs 15,000/=

  • Nusu Tray (Mayai 15) - Tshs 8,000/=


Kumbuka,
  • Mayai ni fresh yaliyotagwa
  • ndani ya masaa 48 (siku 2),
  • Unaletewa popote ulipo ndani ya DSM na kwa idadi yoyote ile
  • utakayo order,

  • Shamba lipo Bunju B - Mabwepande, Km 4.5 kutoka
  • Bagamoyo road,

  • MAWASILIANO +255 756 087 894.
[HASHTAG]#mtaji[/HASHTAG] wa kwanza ni kuwa na afya bora
KARIBUNI SANA...!
 
Back
Top Bottom