Mayai ya kanga

Mayai ya kanga

chagga boyyy

Member
Joined
Jan 10, 2017
Posts
45
Reaction score
12
Pata mayai yenye uhakika wa kupata vifaranga kwa mweye uhitaj wa mayai ya kanga kwa jiliya kuangulishia na anapatikana DAR anaweza toa oda sasa mana wiki ya kwanza mwez w2 nitakua huko dar tuwasiliane mapema sasa kupitia
0717209059 whatsp pia toa oda sasa
 

Attachments

  • IMG-20170121-WA0005.jpeg
    IMG-20170121-WA0005.jpeg
    71.1 KB · Views: 264
ahahaa hao kanga uliwafanyeje wakaangua mkuu? au kanga wa dar? kanga hatotoi hivivihi mzee
 
Pata mayai yenye uhakika wa kupata vifaranga kwa mweye uhitaj wa mayai ya kanga kwa jiliya kuangulishia na anapatikana DAR anaweza toa oda sasa mana wiki ya kwanza mwez w2 nitakua huko dar tuwasiliane mapema sasa kupitia
0717209059 whatsp pia toa oda sasa
ahahaa hao kanga uliwafanyeje wakaangua mkuu? au kanga wa dar? kanga hatotoi hivivihi mzee
 
nampango wa kuzalisha kwa wingi mwez wa3 kisha wa4 Kuangalia soko wengi wanawapenda ila kuwakuza hawawez so ngoja niwakuzie
 
nampango wa kuzalisha kwa wingi mwez wa3 kisha wa4 Kuangalia soko wengi wanawapenda ila kuwakuza hawawez so ngoja niwakuzie
umeniinspire sana mkuu .nipe ramani basi napenda kufuga sana nilishawai kufuga nikaacha kwa sasa sina eneo
 
Back
Top Bottom