huyo mheshimiwa yuko na fustruations maana siku hizi anaongea kama zuzu,hakuna point,kama vile alikuwa usingizini ndio anaamka,
aliwazalo mjinga ndilo analolisema........they are planting seeds for their own distruction, ukitaka kumwongoza mtu mwache awe mjinga akijua humpati............sasa vyuo vingi wasomi wengi ....... ?