Leo Tanzania imeungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya wafanya kazi dunia, hapa tanzania kitaifa yamefanyika Dodoma, katika mabango yalopita mbele ya mgeni rasmi rais wa JMT Dr. Magufuli liliandikwa "ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI ZIRUDISHWE WIZARA YA ELIMU"
Leo Tanzania imeungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya wafanya kazi dunia, hapa tanzania kitaifa yamefanyika Dodoma, katika mabango yalopita mbele ya mgeni rasmi rais wa JMT Dr. Magufuli liliandikwa "ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI ZIRUDISHWE WIZARA YA ELIMU"
Inabidi serikali iandae midahalo na mijadala ya wazi kuhusu namna gani elimu yetu inatakiwa kusonga mbele siyo kila waziri akiiingia wizara ya Elimu anakuja maagizo yake
Hoja hiyo ni dhaifu na imepitwa na wakati kutokana na hoja zifuatazo:- Dhana ya kutoka Wizara ya Elimu na kwenda kwenye Mamlaka za Wilaya na Miji ilikuwa ni utekelezaji wa dhana ya kugatua madaraka. Walimu wameundiwa chombo kipya ambacho kitawahudumia kuanzia Julai, 2016.
Salamu yesu asifiwe, bwana yesu asifiwe, yeye kajiita paroko, magufulli askofu. Na .mc kila Baada ya neno utamsikia akisema yesu wangu. Mambo gani hiyo, acheni mambo ya udini. Mkutano huo Ni watanzania wa imani zote
Sherehe imekuwa yakisiasa kuliko inavyotakiwa...mtu anatumia muda mrefu kujipendekeza kwa maguful badala yakueleza changamoto zinazowakabili wafanyakaz mtu anatumia muda wote kuongea mambo ya majipu sijui pamoja na kauli mbiu ya ccm
Salamu yesu asifiwe, bwana yesu asifiwe, yeye kajiita paroko, magufulli askofu. Na .mc kila Baada ya neno utamsikia akisema yesu wangu. Mambo gani hiyo, acheni mambo ya udini. Mkutano huo Ni watanzania wa imani zote
Acha yule jamaa awe Rais wa Marekani aje atutawale tena miaka 100. Maana mpaka sasa naona sinema tu zinaendelea kwa kila mtu kutetea ugali wake na kujipendekeza kwa bwana mkubwa aendelee kuwepo kwenye ufalme, jamani eeeeh hili taifa ni la watanzania zaidi ya milioni 40,, hizo kazi na majukumu tuliowapa ni kwa ajili ya watanzania na sio familia zenu..
Salamu yesu asifiwe, bwana yesu asifiwe, yeye kajiita paroko, magufulli askofu. Na .mc kila Baada ya neno utamsikia akisema yesu wangu. Mambo gani hiyo, acheni mambo ya udini. Mkutano huo Ni watanzania wa imani zote
Salamu yesu asifiwe, bwana yesu asifiwe, yeye kajiita paroko, magufulli askofu. Na .mc kila Baada ya neno utamsikia akisema yesu wangu. Mambo gani hiyo, acheni mambo ya udini. Mkutano huo Ni watanzania wa imani zote