mh....kaulize embassy ya nchi unayotaka kusafiri kuhusu sheria zao!nadhani inategemea na safari yako ni ya madhumuni gani kama kimasomo,kimatembezi n.k
Vua nguo .kakojoe. kaoge uwahi kulala. sheitwaani wewe ulishaenda kuomba viza wakakuomba kadi ya majibu ya vipimo vya umeme ? mwana izaya weye. Kama unao unaweza kabisa kwenda kutibiwa Nje.
Nchi pekee ambayo ukienda kimasomo ama kukaa muda mrefu wanakufanyia medical examination na kukupima ukimwi kwa siri ni urusi. Otherwise hapo china wakinga kibao wapo wanaingia na kutoka kama nyuki mzingani
Nchi pekee ambayo ukienda kimasomo ama kukaa muda mrefu wanakufanyia medical examination na kukupima ukimwi kwa siri ni urusi. Otherwise hapo china wakinga kibao wapo wanaingia na kutoka kama nyuki mzingani
Kusafiri kibiashara kwa Dubai hakuna tatizo utapata visit visa na safari itakuwa haina tatizo lakini akitaka visa ya makazi(Residence Visa)haiwezekani maana mwombaji lazima apimwe kwenye hosipitali zao,Kwa Dubai ukiomba kazi /masomo ukakutwa una Ukimwi au Hepatitis B utajikuta upo ndani ya Emirates Airline tayari kwa safari ya kupelekwa ulipotoka na ukikutwa na Tb watakupa matibabu ukipona watakupa visa.Kuna rafiki yangu alipata kazi Dubai na mshahara ulukuwa $7000 kila kitu kilikuwa safi lakini kwenye vipimo alikutwa na HEPATITIS B ndio ukawa mwisho wa safari...lakini kusafiri kibiashara haina tatizo.
Ukiendanao ukumbuke kwenda nazana kwani ugundulika unao hutapa akamuulize waziri wakazi navijana wazamani juzi walimuzushia anao nabaada yahapo ikaripotiwa kua alisafiri nje ya nchi