marktindo04
Member
- Dec 16, 2019
- 23
- 74
Bila kupoteza mda hope kama unasoma uzi huu uko salama kabisa ,ebana kama kijana ni muhimu kutoa mawazo ya biashara kwa vijana wenzangu nao amini bado tunatafuta
Sasa kuna watu ambao wanasema hawana ajira ,maisha ni magumu lakini hajawah hata jaribu ku risk pesa yake katika ku invest pesa yake katika bishara yake
nakumbuka kuna kipindi nilikua nina mzigo wangu nimeagiza nje ya nchi i mean alibaba ,sasa mzigo umefika lakini sina wateja kabisa wa kuweza kununua ili nimalize mzigo
mfukoni baada ya kulipia nauli ya mzigo kutoka china nikabakiwa na Tsh 50,000 tu ,kiufupi nilikua na instagram page lakini bila ku promote tangazo wateja huwa wachache sanaaaa yan ,maaana bado sikuwa na frame
so nikichifanya ilibidi ni risk pesa yangu nilokua nimebakiwa nayo ,nikalipia 40,000 kwenye matangazo ya instagram na nikabaki na 10,000 ya chakula maana bado mm ni bachelor so niliweza kujikimu kwa siku hyo kula na kununua mahitaji
Ebanaa ilipofika asubuhi nikaanza kupokea simu na message kibao Dm na whatsapp watu wakihitaji mizigo na niliuza bidhaa mapema zikaisha zote, faida ilikua nzuri tu na niliendelea kuagiza mzigo nje ya nchi mpaka leo
hivyo kama kijana penda sana ku risk pesa katika biashara na sio starehe tu ,
kama huna mtaji unaweza kuanzisha page instagram na kuchukulia mzigo kariakoo direct , post bidhaa yeyote utakayo penda na kuweka bei ambayo unaona inakufaa pia uwe unafanya delivery kwa Dar na mikoani
Unachukulia kwa bei ya jumla na kuuuza reja reja
AKILI MTU WANGU , WATU WANA PESA NYINGI
Sasa kuna watu ambao wanasema hawana ajira ,maisha ni magumu lakini hajawah hata jaribu ku risk pesa yake katika ku invest pesa yake katika bishara yake
nakumbuka kuna kipindi nilikua nina mzigo wangu nimeagiza nje ya nchi i mean alibaba ,sasa mzigo umefika lakini sina wateja kabisa wa kuweza kununua ili nimalize mzigo
mfukoni baada ya kulipia nauli ya mzigo kutoka china nikabakiwa na Tsh 50,000 tu ,kiufupi nilikua na instagram page lakini bila ku promote tangazo wateja huwa wachache sanaaaa yan ,maaana bado sikuwa na frame
so nikichifanya ilibidi ni risk pesa yangu nilokua nimebakiwa nayo ,nikalipia 40,000 kwenye matangazo ya instagram na nikabaki na 10,000 ya chakula maana bado mm ni bachelor so niliweza kujikimu kwa siku hyo kula na kununua mahitaji
Ebanaa ilipofika asubuhi nikaanza kupokea simu na message kibao Dm na whatsapp watu wakihitaji mizigo na niliuza bidhaa mapema zikaisha zote, faida ilikua nzuri tu na niliendelea kuagiza mzigo nje ya nchi mpaka leo
hivyo kama kijana penda sana ku risk pesa katika biashara na sio starehe tu ,
kama huna mtaji unaweza kuanzisha page instagram na kuchukulia mzigo kariakoo direct , post bidhaa yeyote utakayo penda na kuweka bei ambayo unaona inakufaa pia uwe unafanya delivery kwa Dar na mikoani
Unachukulia kwa bei ya jumla na kuuuza reja reja
AKILI MTU WANGU , WATU WANA PESA NYINGI
