Mawaziri wa awamu hii full mikoani

Mawaziri wa awamu hii full mikoani

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,831
Dah kwa kweli awamu hii ni tofafuti aisee. Nimeangalia taarifa ya habari itv naona habari nyingi ni mawaziri tu wanavyo-shine kwenye utendaji wao na hasa mikoani. Naibu waziri wa nishati yuko Rukwa wakati waziri wake Prof. Muhongo yuko kanda ya ziwa.. Nae waziri Prof. Mbarawa nimeona yuko Njombe wote wanapiga kazi. Enzi zile walikua wanapishania Dubai tu
 
Wamshauri JPM kuhusu maswala ya biashara. Pia kauli ya rais kusema trafic kuchukua 5000 zetu siyo rushwa ni pesa ya kubrush viatu sijalipenda kabisa

Yeye ni rais ni muhimu awe makini na kauli zake
 
Back
Top Bottom