Mawasiliano haya!!

Tatizo tukituma sms kuwajulia hali huwa kila siku mnajibu hali mbaya Mara jino lauma,Mara mama mgonjwa Mara kimeenda kimerudi ilimradi tu mpige
Kizinga

Ukiona mwanamke anakutumia SMS sana ,anajipendekeza ,jichunguze huyo anatafuta target ya kukupiga mzinga,
 
wanaume ni Wa ajabu sana maskini wengine wanakuja hapa wanalia eti wapenzi wao hawawatumii hata SMS ila wengine wakitumiwa hata hawajibu. siku zote penye miti hakuna wajenzi.

kuna mwingine Analia hata apate "goodnight" hapati kila saa anaangalia kama kuna sms ikiingia tu fasta anaenda kuangalia anakuja ni vodacom wanamkumbusha kulipa deni la nipige tafu ,soo sad.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…