Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Si vyema kumuombea mwenzio mabaya usiw na sadism character.Lema ni Mtanzania mwenzetu .ila tuombe tu mahakama imalize kesi yake kama anahatia au la na kama anahatia hana budi kutumikia adhabuNitasimamia Ukweli Daima na Mawakili wa Serikali wamekua wanajitahidi sana katika kufanya kazi zao na mimi nawaambia wakaze Uzi ili angalau Lema atoke mapema mwakani mwezi wa Pili kwani atakua kajifunza kufuatia tabia yake chafu ya kumkejeli na kumtukana mheshimiwa Rais.
Ili iwe funzo kwa wote wasioheshimu mamlaka kwa kujivunia eti Mawakili wasomi kama akina Kibatala kuwa watawatoa na kudharau Mawakili wa Jamuhuri.
Sasa hapa sijaelewa,me nadhani hongelea ukweli na haki ya kisheria usiwe mshabiki mambo ya vyama weka pembeni jadili ukweli wa jambo hiki ndo kinachotusumbua watanzania tunashindwa kutumia uelewa wetu na elimu tulizo nazo tunabaki kushabikia kitu bila kuhoji na kujua hualisia kwa jambo lilivyo.Mungu azidi kufungua akili zetu tuweze kujadili vitu kwa hekima na Busara.Nitasimamia Ukweli Daima na Mawakili wa Serikali wamekua wanajitahidi sana katika kufanya kazi zao na mimi nawaambia wakaze Uzi ili angalau Lema atoke mapema mwakani mwezi wa Pili kwani atakua kajifunza kufuatia tabia yake chafu ya kumkejeli na kumtukana mheshimiwa Rais.
Ili iwe funzo kwa wote wasioheshimu mamlaka kwa kujivunia eti Mawakili wasomi kama akina Kibatala kuwa watawatoa na kudharau Mawakili wa Jamuhuri.
Daaah, wewe jamaa una ROHO MBAYA sana, hongera sana mkuu.Nitasimamia Ukweli Daima na Mawakili wa Serikali wamekua wanajitahidi sana katika kufanya kazi zao na mimi nawaambia wakaze Uzi ili angalau Lema atoke mapema mwakani mwezi wa Pili kwani atakua kajifunza kufuatia tabia yake chafu ya kumkejeli na kumtukana mheshimiwa Rais.
Ili iwe funzo kwa wote wasioheshimu mamlaka kwa kujivunia eti Mawakili wasomi kama akina Kibatala kuwa watawatoa na kudharau Mawakili wa Jamuhuri.
Unaongea kwa kuwa unafahamu kuna mhimili uliochimbiwa chini zaidi. Huu mhimili ndio unaburuza mihimili mingine ambayo inaonekana kuwa shallow...Nitasimamia Ukweli Daima na Mawakili wa Serikali wamekua wanajitahidi sana katika kufanya kazi zao na mimi nawaambia wakaze Uzi ili angalau Lema atoke mapema mwakani mwezi wa Pili kwani atakua kajifunza kufuatia tabia yake chafu ya kumkejeli na kumtukana mheshimiwa Rais.
Ili iwe funzo kwa wote wasioheshimu mamlaka kwa kujivunia eti Mawakili wasomi kama akina Kibatala kuwa watawatoa na kudharau Mawakili wa Jamuhuri.
Usimlinganishe Mandela na vitu vya kijinga.Mandela alikaa miaka 30 jela lakini mapambano yaliendelea na uhuru wakapata what we need is [HASHTAG]#Justice4lema[/HASHTAG], [HASHTAG]#freedomofspeech[/HASHTAG], [HASHTAG]#jamiiforumtuwehurukuchangia[/HASHTAG], [HASHTAG]#BringbackBenSaananeAlive[/HASHTAG].