Parabolic
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,743
- 2,599
Shauri hili limefunguliwa katika mahakama kuu masijala kuu ya Dodoma.
Tumefungua shauri hili kuhoji uhalali wa Jeshi la Magereza kuzuia na kuwawekea,,,vingiziti au vikwazo mawakili pale wanapotembelea Magereza kwa ajili ya mashauriano ya kisheria na wateja wao ambao ama ni wafungwa au Mahabusu.
Soma Pia:
- CHADEMA: Jeshi la Magereza limezuia viongozi wa Chama kumuona Mwenyekiti Taifa, Tundu Lissu Gereza la Ukonga
- Wakili Kisabo alalamikia Magereza kumnyima faragha alipomtembelea Lissu gerezani
Shauri hili litatajwa kwa mara ya kwanza tarehe 14 Aprili 2026 mbele ya jopo la Majaji watatu ambao ni Mruma,, Dr. Rumisha na Dr. Longopa, JJJ's.Tutaipigania Heshima na hadhi ya uwakili usiku na mchana na bila kuchoka. Wakili Maduhu