youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Moja ya vigezo vya mawakala wa uchaguzi ingetakiwa wawe watu wa Dini wenye kuamini uwepo wa Mungu.
Hii itasaidia upungufu wa wizi wa kura, kwani wanaomwamini Mungu wasingekubali kurubuniwa kirahisi.
Hii itasaidia upungufu wa wizi wa kura, kwani wanaomwamini Mungu wasingekubali kurubuniwa kirahisi.