Sasa kweli wachaga mapenzi sio FANI yao. kina dada jihadharini na wachaga wenye majina ya M, alianza
Mushi
akafuatia
Munisi
na sasa
Michael... mapenzi yana run dunia..
Si mlikuwa mnajidai hamna wivu?!! Sasa imekuwaje tena? Eti mke anakaa Moshi mwanaume anafanya biashara Sumbawanga, Mwanza, Shinyanga n.k Eti Krismasi ndo anaenda kusalimia familia sasa yako wapi? Kaeni karibu na wake zenu jamani!!