abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Community ya Wzanzibar wanao ishi nje waiomba jumuia ya kimataifa kutowa warrant wakukamatwa Benjamen Mkapa kwa mauwaji ya Wzanzibar 40 waliopigwa risasi ktk mandamano yaliofanyika 2001 26/27.
Hivi sasa kuna maandalizi yakutosha kuhusu mawakili kupress warrant wa kukamatwa Benjamen Mkapa kwa mauwaji ya 26/26 ya Wzanzibar waliokufa shahidi ktk mandamano. Na wamepanga Wzanzibar kuwa pindipo Benjamen Mkapa atapo tembelea Nchi za EU/UK na Netherland waweze kupewa tarifa ili wawarifu mawakili wao waweze kumzibiti na kupelekwa (The Hague).
Benjamin Mkapa
Hivi sasa kuna maandalizi yakutosha kuhusu mawakili kupress warrant wa kukamatwa Benjamen Mkapa kwa mauwaji ya 26/26 ya Wzanzibar waliokufa shahidi ktk mandamano. Na wamepanga Wzanzibar kuwa pindipo Benjamen Mkapa atapo tembelea Nchi za EU/UK na Netherland waweze kupewa tarifa ili wawarifu mawakili wao waweze kumzibiti na kupelekwa (The Hague).
Benjamin Mkapa