Maumivu ya upande wa kushoto

Maumivu ya upande wa kushoto

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,141
Reaction score
950
Wakuu

Kwa wiki moja sasa nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ambayo sio makali sana mkono wa kushoto na ukiinua mkono na kuubana kwenye eneo la kushoto ambapo kuna moyo, unahisi kama kukosa pumzi vizuri. Nimepima vipimo vingi ikiwemo ECG na ECO lakini hakuna kilichoonekana na maumivu bado nayahisi. Kama kuna msaada wowote kwa ambao wamewahi kukabiliwa na hali kama hiyo

Shukran
 
Kama vipimo havijaonyesha kitu, fanya tu mazoezi.
 
MKUU UMEFIKIAJE? hilo tatizo limeanza kuniandama kwa mwezi sasa
 
Back
Top Bottom