Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
pole mwaya! Ngoja madoctor waje
mmmh! Da angel ushawah kubeba mimba nn? Nilidhan bado....lol! Pole mtoa mada.pole mwaya! Ngoja madoctor waje
nina katoto karembo kwelikweli kadri kanavyokua ndo idadi ya mambwa niniyofuga yanaongezekammmh! Da angel ushawah kubeba mimba nn? Nilidhan bado....lol! Pole mtoa mada.
Heshma yenu doctoz na members wote, mimi ni mjamzito wa meizi 4 na siku 12, tatizo langu ni kuumwa tumbo mara kwa mara anzia kwenye kitovu kuelekea chini, nimeshaeleza tatizo langu KCMC wakaniambia nipunzike nisifanye kazi yyt lakini bado tatizo halijaisha, wakati mwingine nahisi km nimebanywa na haja kubwa nikienda chooni haitoki na maumivu yanaendelea,WAPENDWA WANGU NISAIDIENI JAMANI MANA NAOGOPA SANA. MUNGU AWABARIKI.