Joyeuse
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 267
- 159
Habari Mkuu mzizi mkavu,
Mimi ni mjamzito wa miezi tisa hadi kufikia jumamosi kesho kutwa . Je, dalili zipi zitanifanya nijue kuwa mtoto kashageza kichwa kueleke kwenye njia?
Na kuna ya kufanya mtoto ageuke. Sitaki kuzaa kwa kisu.Pia tumbo linatutumka mno. Na ananipiga Sana maeneo ya mbavu upande wa Julia na juu kuja kwenye matiti.
Pia kwenye nyonga ya kushoto huwa nahisi movement kwa mbali. Ila ninakojoa kila muda. Nisaidie mkuu na Kuna njia ya kufanya nijifungue kwa njia ya kawaida nijulishe.
Natanguliza shukran
Mimi ni mjamzito wa miezi tisa hadi kufikia jumamosi kesho kutwa . Je, dalili zipi zitanifanya nijue kuwa mtoto kashageza kichwa kueleke kwenye njia?
Na kuna ya kufanya mtoto ageuke. Sitaki kuzaa kwa kisu.Pia tumbo linatutumka mno. Na ananipiga Sana maeneo ya mbavu upande wa Julia na juu kuja kwenye matiti.
Pia kwenye nyonga ya kushoto huwa nahisi movement kwa mbali. Ila ninakojoa kila muda. Nisaidie mkuu na Kuna njia ya kufanya nijifungue kwa njia ya kawaida nijulishe.
Natanguliza shukran