Maumivu ya mgongo muda wote

Maumivu ya mgongo muda wote

ability123

Member
Joined
Aug 29, 2017
Posts
10
Reaction score
1
msaada, nasumbuliwa na mgongo na sifanyi kazi ngumu.nafuu yake niekewe kitu kizito cha kilo zaidi ya 50 niwekewe mgongoni ndio najisikia nafuu au MTU anikanyage kwa miguu. Mwenye uzito wa kutosha sasa sijui tatizo ni nn.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
msaada, nasumbuliwa na mgongo na sifanyi kazi ngumu.nafuu yake niekewe kitu kizito cha kilo zaidi ya 50 niwekewe mgongoni ndio najisikia nafuu au MTU anikanyage kwa miguu. Mwenye uzito wa kutosha sasa sijui tatizo ni nn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda hospital,onana na physiotherapist.
 
msaada, nasumbuliwa na mgongo na sifanyi kazi ngumu.nafuu yake niekewe kitu kizito cha kilo zaidi ya 50 niwekewe mgongoni ndio najisikia nafuu au MTU anikanyage kwa miguu. Mwenye uzito wa kutosha sasa sijui tatizo ni nn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipo pona Hospitali nitafute mimi kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
Baadhi ya watu huwa tuna mambo ya kushangaza sana,unapata tatzo ambalo limefikia hatua ya kuonyesha sio LA kawaida badala ya kwenda hospitali unajirundika kilo hamsini mgongoni au mtu mzito akukanyage?ukitengua pingili si utalizidisha tatzo?au unasubiri kwenda ukiwa umebebwa kwa kuparalyz?au ndio dili umepanga na huyo sijui Dr mizizi mtangaze biashara?nimeamini common sense is not common
 
msaada, nasumbuliwa na mgongo na sifanyi kazi ngumu.nafuu yake niekewe kitu kizito cha kilo zaidi ya 50 niwekewe mgongoni ndio najisikia nafuu au MTU anikanyage kwa miguu. Mwenye uzito wa kutosha sasa sijui tatizo ni nn.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yawezekana huli vizuri na Kushiba, maumivu ya namna hii siyo ya mgongo bali yanatokea kwenye utumbo ambao upo karibu na mgongo. Jaribu kula na kushiba uone matokeo. Jaribu vyakula visivyo na asidi... Tatizo lako litaisha huhitaji kwenda hospital.

Thank me later
 
Usipo pona Hospitali nitafute mimi kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Ajitahid kweli akuone ila pia ajipange kiuchumi maana kwa bei zako mmmhhh!
 
Wahi hospital mkuu.

Vipi mkuu katika mazoezi maana wengi siku hizi ufanya mazoezi yasiyo na mpangilio na kusababisha matatizo kama hayo.
 
msaada, nasumbuliwa na mgongo na sifanyi kazi ngumu.nafuu yake niekewe kitu kizito cha kilo zaidi ya 50 niwekewe mgongoni ndio najisikia nafuu au MTU anikanyage kwa miguu. Mwenye uzito wa kutosha sasa sijui tatizo ni nn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maambukizi ya virus

DALILI—homa, maumivu ya misuli, viungo, baridi na maumivu ya kichwa.

SABABU-Virusi vinaweza kuwa kwenye hali mbaya sana. Maambukizi ya virusi ni pamoja na homa ya kawaida, surua, tetekuwanga, mumpus, tonsillitis, saratani (kansa). croup, kuambukiza hepatitis, mononucleosis, uti wa mgongo (spinal meningitis), pumu, na maambukizo fulani ya kibofu.

Antibiotics hupambana na uvamizi wa bakteria, lakini haina nguvu dhidi ya maambukizi ya virusi. Kuna dawa chache za antiviral ambazo zinafaa. Kinyume chake cha ajabu, mwili hutumia aina zile zile za ulinzi wenye nguvu - kupinga na kushinda majanga ya bakteria na virusi ! .hivyo usaidie mwili wako kushinda vita.Mungu ameweka
Ulinzi thabiti dhidi ya magonjwa ndani ya kila mmoja wetu. Tunaweza kuzidai kikamilifu zaidi ikiwa tunaishi kulingana na sheria au kanuni za afya.

Remwdies
 
Back
Top Bottom