Maumivu ya kiuno na mishipa ya Korodani

Maumivu ya kiuno na mishipa ya Korodani

Big Dy

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2015
Posts
491
Reaction score
599
Habari za majukum wanajamvi,

Nielekee moja kwa moja kwenye mada, nimekua napatwa na maumivu makali sana ya kiuno na kwenye mishipa inayoenda kwenye korodani.

Hali hii inatokea zaidi haswa baada ya tendo la ndoa. Kwa wenye ujuzi naombeni msaada wenu au kama kuna daktari mahsusi kwa kina baba kwa hapa Dar es Salaam nisaidieni contact zake
 
Habari za majukum wanajamvi,

Nielekee moja kwa moja kwenye mada, nimekua napatwa na maumivu makali sana ya kiuno na kwenye mishipa inayoenda kwenye korodani.

Hali hii inatokea zaid haswa baada ya tendo la ndoa. Kwa wenye ujuzi naombeni msaada wenu au kama kuna daktari mahsusi kwa kina baba kwa hapa Dar es Salaam nisaodien contact zake
Una umri gani mkuu?

Je korodani hazijavimba wala haziumi?
 
Nakumbuka uliwahi kuandika uzi kama huu tarehe 6 Apri 2016.
Pole sana mkuu
 
Sema ukweli. Kuna mafaili haujayafungua hapa. Hebu sema ukweli wa moyo. Hayo maumivu yaanze tu bila sababu?🤔 Kuna kitu ulikuwa unafanya previously. Sema ukweli.
 
Nakumbuka kuna member aliandika kwamba.....
Maumivu ya korodani na kiuno ni upungufu wa madini ya zinc ambayo yanapatikana kwenye vyakula kama dagaa, chainizi, na mbegu za maboga, na majani ya alfalfa ambayo mizizi yake inaenda chini ardhini miguu 20-30 na kua na hayo madini ya zinc ambayo ukitumia hayo majani kwenye chai inamaliza tatizo lako kabisa mkuu
 
Habari za majukum wanajamvi,

Nielekee moja kwa moja kwenye mada, nimekua napatwa na maumivu makali sana ya kiuno na kwenye mishipa inayoenda kwenye korodani.

Hali hii inatokea zaidi haswa baada ya tendo la ndoa. Kwa wenye ujuzi naombeni msaada wenu au kama kuna daktari mahsusi kwa kina baba kwa hapa Dar es Salaam nisaidieni contact zake
DR Mambo Jambo
 
Habari za majukum wanajamvi,

Nielekee moja kwa moja kwenye mada, nimekua napatwa na maumivu makali sana ya kiuno na kwenye mishipa inayoenda kwenye korodani.

Hali hii inatokea zaidi haswa baada ya tendo la ndoa. Kwa wenye ujuzi naombeni msaada wenu au kama kuna daktari mahsusi kwa kina baba kwa hapa Dar es Salaam nisaidieni contact zake
Kaka Naomba Nileleze ninavyo fahamu mm Kama ni Dereva Hilo Ni tatizo kubwa sana maana ukiwa muendeshaji muda mrefu Hiyo Hali Hii utokea, Lingine kama mkaji sana ofisini Hilo Tatizo lazima likutoke Kuna Baadhi ya Mazoezi Hupunguza kbs hayo Maumivu Au kupona km umejua mapema ni hilo. Vinginevyo unaweza Kutemebela baadhi ya page za Matabibu Wanaweza kukusaidia Kwa kiwango ulicho kifikia ni Maoni yangu
 
Kaka Naomba Nileleze ninavyo fahamu mm Kama ni Dereva Hilo Ni tatizo kubwa sana maana ukiwa muendeshaji muda mrefu Hiyo Hali Hii utokea, Lingine kama mkaji sana ofisini Hilo Tatizo lazima likutoke Kuna Baadhi ya Mazoezi Hupunguza kbs hayo Maumivu Au kupona km umejua mapema ni hilo. Vinginevyo unaweza Kutemebela baadhi ya page za Matabibu Wanaweza kukusaidia Kwa kiwango ulicho kifikia ni Maoni yangu
Asante sana kwa ushauri yes ni mtumish mda mwingi ninakua nimekaa na pia kusimama vile vile, nimejaribu kurekebisha vyakula na mazoez lakin naona hali bado
 
Hernia/Ngiri hiyo. Nenda hospitali. Hapa JF watakukejeli
 
Nakumbuka kuna member aliandika kwamba.....
Maumivu ya korodani na kiuno ni upungufu wa madini ya zinc ambayo yanapatikana kwenye vyakula kama dagaa, chainizi, na mbegu za maboga, na majani ya alfalfa ambayo mizizi yake inaenda chini ardhini miguu 20-30 na kua na hayo madini ya zinc ambayo ukitumia hayo majani kwenye chai inamaliza tatizo lako kabisa mkuu
Kwenye kusoma soma pia niliona ukosefu wa madini hayo ya zinc ni sababu ya changamoto kama hizi, nimekua nakula vyakula hivo na kutumia dawa zenye virutubisho hivo kwa wingi
 
Asante sana kwa ushauri yes ni mtumish mda mwingi ninakua nimekaa na pia kusimama vile vile, nimejaribu kurekebisha vyakula na mazoez lakin naona hali bado
Basi Jaribu Kwa madoctor wanao dili sana Mifupa ya kiuno pa.aoja na spinal code Ndio huleta hzio sheeda smtm kuna pingili zakwenye kiuno na mgongo huwa zina sagika huleta hayo maumiv Kaka na kupelekea korodan pia kuleta maumivu na hupelekea kupata tezi dume Kwa harka sana ngoja ni kuangalizie link Nita kutumia kaka
 
Nakumbuka kuna member aliandika kwamba.....
Maumivu ya korodani na kiuno ni upungufu wa madini ya zinc ambayo yanapatikana kwenye vyakula kama dagaa, chainizi, na mbegu za maboga, na majani ya alfalfa ambayo mizizi yake inaenda chini ardhini miguu 20-30 na kua na hayo madini ya zinc ambayo ukitumia hayo majani kwenye chai inamaliza tatizo lako kabisa mkuu
Tafali siyajui tupigie kapicha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom