benja
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 318
- 196
Habari za asubuhi wadau.......
Nina maumivu makali sana ya kidole baada ya kidole gumba kidole kinachofuata. Maumivu yapo eneo baada ya kucha na joint ya kwanza basi. ni maumivu makali japo huwa yanapungua. pia huwa yanaongezeka pindi nikikiminya kidole. sina kovu wala mchirizo unaonisababishia maumivu ila ni maumivu ya ndani kwa ndani.
Nina maumivu makali sana ya kidole baada ya kidole gumba kidole kinachofuata. Maumivu yapo eneo baada ya kucha na joint ya kwanza basi. ni maumivu makali japo huwa yanapungua. pia huwa yanaongezeka pindi nikikiminya kidole. sina kovu wala mchirizo unaonisababishia maumivu ila ni maumivu ya ndani kwa ndani.