Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 604
- 218
Habari zenu ndugu zangu?
Mwaka huu na mpango wakuanza kutumia iphone hasa taget yangu ni iphone Xs max au 11 pro max(napenda simu kubwa) ila kuna kitu nataka kujua kuhusu hizi iphone kwa kwel maana kuna iphone OG na fake je nitajuaje kuwa hii ni fake na hii n OG? Ili nisije kubambikwa simu fake?
Mwaka huu na mpango wakuanza kutumia iphone hasa taget yangu ni iphone Xs max au 11 pro max(napenda simu kubwa) ila kuna kitu nataka kujua kuhusu hizi iphone kwa kwel maana kuna iphone OG na fake je nitajuaje kuwa hii ni fake na hii n OG? Ili nisije kubambikwa simu fake?

