Mauaji zanzibar ni mtaji kwa serikali

Mauaji zanzibar ni mtaji kwa serikali

Mnyalugendo

Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
15
Reaction score
3
Mauaji yanayoendelea visiwani ni mtaji kwa serikali na watendaji wake kwani mauaji hayo yanapotokea haraka sana tume huundwa na kutumia pesa nyingi za walipa kodi mwisho wa siku hakuna mrejesho wowote ule tjiulze watanzania wenzangu majibu ya uchunguzi wa katibu wa muft kumwagiwa tindikali padre aliyepigwa risasi na sasa wanarudi tena kwa padre aliye uawa yote haya ni mchezo watu kutengeneza pesa tuwe waangalifu
 
Kweli ni mtaji wa serikali wananchi wanaacha kuongelea ahadi za uongo za maisha bora kwa kila mtanzania yanawezekana tunachofanya sasa ni kusutana sisi kwa sisi
 
Back
Top Bottom