lingindingi
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 218
- 123
Habari wana jamii
Nimevumilia ila nimechoka inabidi niseme kweli huku kwetu maeneo ya buhongwa ,mkolani hadi nyegezi tuna uwawa kama ndege ,ukikutwa na hawa jamaa lazima wakuuwe chaajabu awachukui hata mia yako hali hii imeanza tangu katikati ya mwezi wa kumi na mbili mwaka jana,taktibanai watu 30 wameuwa tadi leo ,polisi wao wanakuja kuchuku maiti na kupiga mkwala kisha wanaondoka !siwezi kuamini kuwa kamand wa polisi mwanza ameshindwa kuzuia hili ila hajapata kiki y msukumo wa kufanya kazi yake kiumwakini!,jamani msaada huku hayuna amani hat wakulikukuta umekwnda nawajua watu kama wanne tu ndio walionusulika huku
Nimevumilia ila nimechoka inabidi niseme kweli huku kwetu maeneo ya buhongwa ,mkolani hadi nyegezi tuna uwawa kama ndege ,ukikutwa na hawa jamaa lazima wakuuwe chaajabu awachukui hata mia yako hali hii imeanza tangu katikati ya mwezi wa kumi na mbili mwaka jana,taktibanai watu 30 wameuwa tadi leo ,polisi wao wanakuja kuchuku maiti na kupiga mkwala kisha wanaondoka !siwezi kuamini kuwa kamand wa polisi mwanza ameshindwa kuzuia hili ila hajapata kiki y msukumo wa kufanya kazi yake kiumwakini!,jamani msaada huku hayuna amani hat wakulikukuta umekwnda nawajua watu kama wanne tu ndio walionusulika huku