Mauaji Ya RPC Mwanza, Barlow


Kweli kabisa, majibu yatapatikana kutoka kwa Serikali! Amenichanganya sana kuchanganya madiwani wa CCM na Chadema kwenye njama za kumuua Barlow!
 
na bado....mtandao wote utafumuliwa tu.....wamezoea kuwalaza makamanda toka kaskazin.....wengine waliwafukuza kaz kizembe badae wameshinda kesi zao na hawataki kuwalipa fidia!!! system iko corrupt!!
 
Wamempima akili? Mkuu wa Gereza anaweza kuamru mtu aachiwe?

...Thanx. Ndio kitu cha kwanza nilichojiuliza kuhusu hii Udaku type 'Story'. Cha pili nilichojiuliza ni alijuaje waliomuaa Marehemu hali alikuwa Gerezani na hata alipofunguliwa alikataa kutoka kwa kuogopa kugeuzwa RIP? Tatu nimejiulza, pamoja na yooote hivi Usalama wa taifa,Polisi, madiwani wa CCM...Na Chadema, for Christ sake!!!!! wanaweza wote kukaa pamoja na kupanga mpango kwa pamoja wa kumuua marehemu Barrow????:suspicious:

...Thank You James Hadley Chase for...'Believe This and You Will Believe Anything...'
 

Point of correction kwa mujibu wa gazeti,
Moja aligombea kupitia ccm na mwingine Chadema. Wote ni majambazi ila wa chadema hakushinda. alibwagwa. Kwa hiyo kiukweli kuna jambazi ambaye ni Diwani wa ccm. jambazi aliyegombea kupitia chadema alikuwa amejiunga na chadema ili agombee ili amsaidie jambazi mwenzake. kazi kweli.
 
Mimi nilijua tu mwisho wa siku UWT wataumbuka na bado mengine yako njiani kuhusu kifo cha Mwalimu J K Nyerere.Stay tuning.
 
Wana jamvi habari za asubuhi,

Naomba mwenye updates zozote za mauji ya RPC Mwanza, Barlow au mwenye site ya gazeti la Jamuhuri maana limeandika hiyo habari leo.

will appreciate

yeyote mbaya mauti mbaya ni haki yake,hakuna haja ya kumuulizia as well hata RPC wa iringa namuombea auawe hata kesho
 
Hii taarifa ina utata na nadhani ni uzushi,huyu mtu naweza kukubaliana naye kuwa ni jambazi sugu na Muna ni OCCID wa Mwanza,sasa kama anavyodai ni kweli kuwa aliwahi kumuua mwanamke na kumnyofoa sehemu zake hiyo kesi aliitumikia lini?Murder haina dhamana ,yeye alitokatokaje? au kasikia anatafutwa na Muna?story ya Barlow kuuwawa inajulikana,wauwaji walionyeshwa hadi kwenye TV wakiwa na vielelezo,hadi Radio ya Barlow waliyokuwa wameifukia kwenye matope,sasa hizo story za kutaka kukodishwa kazitoa wapi,pia anadai yeye aliwahi kuwa mfanyakazi wa afande Barlow,sasa hiyo pia inaleta maswali mengi:alikuwa akimfanyia kazi gani?alifanya kazi kwa Barlow kabla au baada ya kuwa jambazi?na je waliomua approach na kutaka amuuwe Barlow walimfuata akiwa mfanyakazi wake au baada ya kuacha/kuachishwa?na kwanini wamfuate yeye?Nadhani yale wliyokuwa wakiyasema wabunge ya waandishi makajanja ndio hayo,inabidi wa digest habari zao kabla ya kuziweka kwenye public consumption
 
Green:
---Hii habari imekaa kiutata...sana.

Kwa nini Kamanda Barlow(R.I.P) alijitengenezea/alitengenezewa maadaui hawa wote? Nikipata chanzo halisi cha uhasama wa Barlowa na wanausalama wenzake...ndipo nitakuwa katika nafasi ya kuthibitisha ukweli wa habari hii.
 
wajenzi makini wa hii nchi wapo njian kuijenga na kuweka msingi imara ya kumkomboa mtanzania its the matter of time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…