Kyakashombo
Senior Member
- Oct 13, 2018
- 164
- 235
Jamaa mmoja mkazi wa Mwanza wilaya ya Kwimba, ameuwawa kwa kukatwa sehemu zake za siri baada ya kufamaniwa na mke wa mtu! Ila inasemekana mwamke huyo alikuwa amekwisha achika kwa mumuwe kwa taraka.
KweliPapuchi ni chanzo cha vifo vingi
Alikuwa kashampatia talaka..............Mkitaka yeshe acheni kuwagongea watu wake zao!haya mambo mtu anajifanya mjanja sana mbele ya mke wa mtu akiuawa ndugu zake wasiwasumbue police Kabisa maana ni uzembe wao.