TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
Ndugu Watanzania, Kwa ajili ya faida yangu na Yenu wapenda Mabadiliko katika Nchi yetu, Nimeona ni Dhambi Kubwa Kukaa kimya na Kutegemea wengine wapiganie Ukombozi wangu kwa Jasho na Damu yao wakati mimi sifanyi Lolote.
Kwa Teknologia ilivyosasa nimeona yapo Mengi ninayoweza kufanya ikiwa ni kutoa majibu ya madai yafuatayo.
(1)MATUSI:- Ati Katika Vichwa vya Lowassa na Sumaye kuna Uji Badala ya Ubongo.
(2) HADAA:- Ati CCM Wakichaguliwa watachoma Kunguni (AKA Mafisadi) Vitandani mwao
(3) VITISHO:- Ati Watanzania wakipiga Kura Kuleta mabadiliko wakiiondoa CCM iliyo Corrupt at Watakaribisha Machafuko, Kama ilivyo Libya na Misri.
(4) KEJELI, Ati Wapinzani wanahitaji Uzoefu wa Miaka 50 Kabla ya Kuaminiwa Kuongoza Nchi.
TAFADHALI SHARE VIDEO HII NA KILA UNAYEMJUA KAMA UNATAKA KUSHIRIKI KATIKA JUHUDI ZA UKAWA ZA KULETA MABADILIKO, USIKAE TU, TECKNOLOGIA HII INAKUPA NYENZO YA KUSAIDIA.
Kwa Teknologia ilivyosasa nimeona yapo Mengi ninayoweza kufanya ikiwa ni kutoa majibu ya madai yafuatayo.
(1)MATUSI:- Ati Katika Vichwa vya Lowassa na Sumaye kuna Uji Badala ya Ubongo.
(2) HADAA:- Ati CCM Wakichaguliwa watachoma Kunguni (AKA Mafisadi) Vitandani mwao
(3) VITISHO:- Ati Watanzania wakipiga Kura Kuleta mabadiliko wakiiondoa CCM iliyo Corrupt at Watakaribisha Machafuko, Kama ilivyo Libya na Misri.
(4) KEJELI, Ati Wapinzani wanahitaji Uzoefu wa Miaka 50 Kabla ya Kuaminiwa Kuongoza Nchi.
TAFADHALI SHARE VIDEO HII NA KILA UNAYEMJUA KAMA UNATAKA KUSHIRIKI KATIKA JUHUDI ZA UKAWA ZA KULETA MABADILIKO, USIKAE TU, TECKNOLOGIA HII INAKUPA NYENZO YA KUSAIDIA.
Last edited by a moderator: