Mwasongwec
Member
- Oct 15, 2007
- 5
- 0
Nimekuwa najaribu observe baadhi ya matukio yanayo kihusu CHADEMA kama chama; ukianza na tukio la Mh. Zito kuwa kinyume na wabunge wenzake baada ya hotuba ya JK kufungua Bunge, kisha baadhi ya kauli na nyendo za Mh. Shibuda; The way they have handled all these issues made me admire CHADEMA, look like kuna deep maturity on dealing these kind of hard characters and that shows si chama cha msimu, kimekua, mizizi yake inashika udongoni...... Oh man I`m not CHADEMA member