Unafanya forex..na ni kiasi gani inakuingizia..mpaka uiwekee hela nyingi hivyo.?
Nakushauri anza kuweka hela ya sadaka na sadaka sio lazima uipeleke kanisani..sadaka wape wahitaji hasa wenye njaa..wenye ukosefu wa mavazi..waweza somesha mtoto toka mazingira magumu..n.k.
Itafungua milango mingi sana mana maandiko yanasema ni heli mkono utoao kuliko upokeano.
#MaendeleoHayanaChama