Nimenunua original simu ya nokia lumia 510,tatizo ni kwamba simu hii inanisumbua ktk kukata simu baada ya kumaliza kuongea,haikubal hata kidogo,msaada wadau
Angalia kwenye manual..ila ungechukua lumia 620 kama ninayotumia hapa ungeenjoy sana maana hiyo nina mashaka kama ina USSD code kitu ambacho itakusumbua kwenye vitu kama Tigopesa na Mpesa.
Nimenunua original simu ya nokia lumia 510,tatizo ni kwamba simu hii inanisumbua ktk kukata simu baada ya kumaliza kuongea,haikubal hata kidogo,msaada wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.