Matumizi Anuai ya Chandarua

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,156
13,258
DSC_0632.JPG


Watoto wakicheza mpira katika kiwanja cha kijiji cha Mkaranga wilaya ya Kilolo mkoani Iringa huku wakitumia vyandarua kama nyavu za goli jambo ambalo halikuwa ni lengo la serikali kugawa vyandarua hivyo kwa matumizi kama haya ya viwanjani

/issamichuzi.blogspot.com
 
DSC_0640.JPG

Nyanda akirekebisha nyavu baada ya shuti kutikisa
 
Back
Top Bottom