Matumaini mapya kwa wanaosubiri ajira za walimu.

Matumaini mapya kwa wanaosubiri ajira za walimu.

Alivyowika jogoo nikadhani kumekucha, et kumbe badoo!! Ngoja niendelee kulala
 
Ivi kwani huyo jpm hayuko humuuu haoniiii.... Ila Mungu yupo malipo hapahapaa
 
Mnaonaje serikali ikawaelekeza JKT kwa miezi sita watu wanaotarajia kuajiriwa hivi karibu!
Na ajira zikatangazwa rasmi April mwakani!!
 
Naona wametoa tangazo la kazi kwa upande wa RITA, na RITA iko ktk utumishi wa umma. Hii ni ishara njema kuhusu kufunguliwa kwa ajira na kupanda kwa madaraja kwa watumishi wa umma. Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
ATTACH]
 

Attachments

  • 1473353558841.jpg
    1473353558841.jpg
    73.7 KB · Views: 18

Similar Discussions

Back
Top Bottom