Matukio ya Ubakaji watoto yatia fora 2016!

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
8,262
13,552
Nimeshtushwa na taarifa ya kuongezeka kubakwa kwa watoto wadogo,mpaka kufikia Machi ni zaidi ya watoto 1700,tofauti na mwaka jana,Januari hadi Machi watoto 1500
Hizo data ni kwa mujibu wa msemaji wa jeshi la polisi Advera Bulimba via TV1.Mkoa unaongoza kwa unyama huo ni DAR ES SALAAM.

My take inakuwaje baadhi ya wanaume kuendelea kubaka watoto huku kukiwa na rundo la madada poa,AU ni uoga wa kutongoza??.Tena DAR ndio mkoa tunaosema ndipo walimo wajanja wa town wakiwemo mabraza meni.

Au ni imani za kishirikina au nini?

Tujadili kwa pamoja kukomesha tabia hii chafu isiyopendeza machoni mwa mwanadanu hata kwa Mungu pia.

Nawasilisha!
 
Asante kwa taarifa tumekupata kaka
Tunatokaje hapo tulipo,ubakaji kwa watoto huwa haribu kisaikolojia na kuwanyima ukuaji mzuri wa kimwili na kiakili.
Nini kifanyike,hawa madomo zege wanaowabaka watoto wafungwe maisha au wanyongwe?? Tujadili pamoja,maana humu JF wengi hupenda kuchangia habari za umbea,badala ya kujikita tuondokane kama sio kupunguza tatizo la ubakaji kwa watotot,hebu fifkiria mwanao/mdogo wako akibakwa utajisikiaje??
 
Klicho ongezeka ni imani za kishirikina tu
ndo maana ubakaji watoto umeongezeka...

hal ya kiuchumi imechangia
 
Na hao ni walioenda kushtaki dawati la jinsia.je ambao hayajajulikana ni mangapi usikute yamezidi takwimu ya walioripoti.yesuuu na mariaaaa nikukute unabaka mtt yyte naingiza mkono ktk kabang yako navuta maini na firigisi
 
Asilimia kubwa wanaobaka wanakuwa wametaperiwa,,ukishataperiwa kiasi kikubwa cha pesa na wajanja wa mjini,
Kitakachofuata wewe ni kuwasumbua wale mataperi kwa namna moja au nyingine,,,sasa ili usiendelee kuwasumbua,watakachofanya, watakuambia hii issue ili iende saw a inabidi apatikane mtoto wa umri fulani wa chini umlale, uende nae guest au chumbani kwako km utakuwa msela, we ukikubari Ilo suala, kitakachofuata wale mataperi wanapanga issue na maaskari wasio waaminifu kwa kuwaelekeza ulipo na huyo unaetaka kumbaka, unakamatwa bila kutaraajia, then unapewa kesi ya kubaka,end of ze day unaenda jela, iyo inaitwa kufunga kipindi, hapo alikutaperi anakula life,we mtaperiwa unaozea jela
 
Back
Top Bottom